Asubuhi Nitakuimbia

Asubuhi Nitakuimbia
Performed bySt. Joseph Migori
AlbumNimeteuliwa
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerAlfred Ossonga
Views9,657

Asubuhi Nitakuimbia Lyrics

  1. Ee Bwana nitakushukuru kwa moyo wangu wote *2

    Asubuhi nitakuimbia kwa shangwe na vigelegele
    Nitacheza ngoma na kayamba, kinanda pia baragumu
    Mchana nitarukaruka, usiku nitakusifu
    Mimi nitasimulia, matendo yako makuu

  2. Ee Bwana nitakuabudu kwa moyo wangu wote *2
  3. Ee Bwana nitakutukuza kwa moyo wangu wote *2
  4. Ee Bwana kwa upendo wako mimi nimeumbwa *2
  5. Ee Bwana nitayatangaza matendo yako mema *2