Bwana Ndiye Mchungaji

Bwana Ndiye Mchungaji
Performed byOur Lady of Fatima Kongowea
AlbumUninyunyizie Maji (vol. 2)
CategoryZaburi
Views8,766

Bwana Ndiye Mchungaji Lyrics

  1. Bwana ndiye mchungaji wangu*2
    Sitapungukiwa na kitu *2
    Katika malisho ya majani mabichi hunilaza,
    Kando ya maji ya utulivu huniongoza *2
     
  2. Huandaa meza mbele yangu *2
    machoni pa watesi wangu *2
    Umenimwaga mafuta kichwani mwangu ,
    Na kikombe changu kinafurika *2
     
  3. Hakika wema na fadhili
    Hakika wema na fadhili zitanifuata siku zote*2
    Zitanifuata siku zote za maisha yangu,
    Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana Milele*2
     
  4. Katika njia za haki
    Katika njia za haki, sitaogopa mabaya *2
    Kwa maana wewe upo pamoja nami
    Onyo lako na fimbo yako vyanifariji