Bwana Upokee

Bwana Upokee
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
Views12,710

Bwana Upokee Lyrics

  1. Bwana upokee, Bwana upokee, zawadi twaleta *2
  2. Mkate na divai, zawadi twaleta
    Mazao ya mashamba, zawadi twaleta
    Na pia nafsi zetu, zawadi twaleta
    Vyote tulivyo navyo, zawadi twaleta
  3. Furaha na uchungu . . .
    Na kiini cha ngano . . .
    Na tunda la Mzabibu . . .
    Fedha za mifukoni . . .
  4. Nafaka upokee . . .
    Twakutolea vyote . . .
    Kwako Baba Muumba . . .
    Kwa njia ya Mwokozi. . .
  5. Katika mfariji . . .
    Ipate kugeuzwa. . .
    Iweze kutufaa. . .
    Pokea twakuomba . . .
  6. Ingawa ni kidogo . . .
    Twakutolea kwa moyo
    Baba usikatae . . .
    Vipaji vya wanao . . .