Dhihirisha Fadhili

Dhihirisha Fadhili
Performed by-
CategoryZaburi
ComposerBernard Mukasa
Views2,808

Dhihirisha Fadhili Lyrics

  1. Dhirisha fadhili fadhili zako za ajabu
    wewe uwaokoaye wanaokukimbilia
    Wasinione wasio haki, wananionea
    Adui za roho yangu wanaonizunguka
    { Bali mimi bali mimi niutazame uso
    wako katika haki
    Niamkapo nishibishwe kwa sura yako } *2

  2. Wamenishtaki kwa makosa yao wenyewe,
    Wakanihukumu kwa madhambi waliyotenda
    Wamekunywa damu yangu waonekane wema
    mbele ya watu
  3. Ushike kigao ushike ngao usimame
    Bwana utete nami