Mimi Nashindwa

Mimi Nashindwa
Performed by-
CategoryThanksgiving / Shukrani
Views3,526

Mimi Nashindwa Lyrics

  1. Mimi nashindwa ni namna gani nikushukuruje
    Bwana (wangu), Kwani mema yote unayonitendea
    ni ya ajabu kwangu (mimi)
    Sikiliza Bwana kilio changu cha kukushukuru
    Ninakushukuru Bwana wangu
    mimi nakushukuru Nasema asante (sana) Baba

  2. Unitoe katika bonde la aibu,
    Uniweke katika kundi la kondoo wako
  3. Nilisifu daima jina lako wewe,
    Nikiwa ni shahidi niliye ndani ya Baba