Mwavuli Wangu

Mwavuli Wangu
Performed by-
CategoryTafakari
Views3,036

Mwavuli Wangu Lyrics

  1. Mimi niliutafuta mwavuli wangu uko wapi, wapi?
    Ili niufungue, niishi chini ya mwavuli
    Nisinyeshewe na yasiyopendeza Mungu (wangu)
    Nisichomwe na yasiyopendeza Mungu (wangu)
    Nayo yote yale yasiyo matakatifu, (Mwavuli)
    Niliupata mwavuli wangu ni Yesu (Kristu)
    Wa kila siku mwavuli wangu ni Yesu (Kristu)
    Mchana pia usiku popote anilinda, (Ni Yesu)

  2. Ananilinda na maadui, ananilinda na maadui
    Na wasiopeenda amani, ananilinda na maadui
    Kuliko majibu yote mi, kuliko majibu yote mi,
    Niepuke mitego, ya muovu
  3. Mwili wake na damu yake, mwili wake na damu yake
    Matendo ya haki na ukweli *2
    Dua yangu na maombi yangu, dua yangu na maombi
    Mwavuli wangu mimi, damu yake

    ~Kenya Poly