Nitakwenda Mimi Mwenyewe

Nitakwenda Mimi Mwenyewe
Performed bySauti Tamu Melodies
AlbumZilipendwa
CategoryOffertory/Sadaka
ComposerI. Myaga
VideoWatch on YouTube
Views37,751

Nitakwenda Mimi Mwenyewe Lyrics

  1. Nitakwenda mimi mwenyewe, nikatoe sadaka kwa Bwana
    { Aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi
    Mungu wangu, Mungu wangu, Mungu wangu
    Kwa kuniumba hadi nikapendeza } *2

  2. Kaniumba kwa mfano wake, kuliko viumbe vingine
    Na sasa nikatoe shukrani
  3. Vyote nilivyo navyo ni vyake, nimrudishie kwa mapendo,
    Na sasa nikatoe shukrani
  4. Mema mengi amenijalia, ya mbinguni na duniani
    Na sasa nikatoe shukrani
  5. (Siku zote wanilinda vyema, wanitunza na kunijali
    Na sasa nikatoe shukrani)