Nyanyukeni Wote

Nyanyukeni Wote
Performed bySt. Anthoney Malindi
AlbumMalindi Kuna Nini
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerAlfred Ossonga
Views12,094

Nyanyukeni Wote Lyrics

  1. Njooni tucheze mbele zake Bwana, wa mapendo
    Njooni tutoe shukrani zetu -siku zote

    Kwa shangwe
    { Nyanyukeni wote - tuimbe tumtukuze Bwana
    Tuyasimulie - pamoja matendo yake makuu } *2
    Mwilio tumekula - asante tunashukuru
    Damuyo tumekunywa - asante tunashukuru,
    Asante, kwa ukarimu, asante, kwa wema wako,
    Asante, Kwa kutulisha, asante,
    kwa kutunywesha, asante sana

  2. Njooni wazee hata na vijana - na watoto
    Njooni wamama nanyi wasichana - tufurahi
  3. Njooni tutoe ushuhuda wetu - hadharani
    Njooni tuyatangaze maajabu - yake Bwana
  4. Njooni katika madhabahu yake - takatifu
    Njooni katika sinagogi lake - tumsifu
  5. Njooni tupate baraka za Bwana - Mungu wetu
    Njooni tuishi naye tangu leo - na milele