Rudisheni Talanta

Rudisheni Talanta
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
Views14,408

Rudisheni Talanta Lyrics

  1. { Rudisheni talanta zenu,
    Rudisheni talanta zenu kwa Bwana } *2
    Kama wale wawili walivyorudisha
    Talanta mbili na tano faida
    Nanyi pia, rudisheni talanta zenu kwa Bwana *2

  2. Rudisheni talanta kama wawili walivyorudisha
    Mbili na tano fa-ida
  3. Ukificha talanta, utanyang`anywa, na kupewa yule,
    Aliyeleta na faida
  4. Ukifanya hesabu, na Mungu wako kwa zile talanta,
    Mrudishie na faida