Viungo vya Kanisa

Viungo vya Kanisa
Performed bySt. Cecilia Zimmerman
AlbumNitasimulia Matendo (Vol 6)
CategoryChurch
Views2,632

Viungo vya Kanisa Lyrics

  1. Kama mwili wote ungekuwa jicho,
    Mwili wote ungekuwa jicho,
    Je, je, sikio lingekuwa nini,
    Mwili wote ungekuwa ni sikio,
    wote ungekuwa ni sikio,
    Je, je, mtu angewezaje wezaje kunusa
    Mikono haiwezi kuiambia miguu haifanyi kazi
    Tumbo nalo litaishi vipi basi mdomo nao ukigoma
    Hilo ni kanisa,
    Linahitaji jumuiya na moyo wa kujitolea,
    Kuzitoa sadaka zetu hata pia fungu la kumi,
    Viungo vya kanisa.

  2. Viungo vya kanisa letu ni kujitolea
    Kwa hali pia nazo mali kanisa liendelee
  3. Daktari hawezi kuwa bora kuliko mwalimu,
    Sote tushirikiane kwa michango na mali
  4. Viungo vya kanisa lote kuungana jumuiya
    Kusali kusaidiana kwa walio masikini