{ Ee nafsi yangu mhimidi Bwana, wewe Bwana Mungu wangu,
umejifanya mkuu sana, umejivika heshima na adhama } * 2
- Umejivika nuru kama vazi, umezitandaza mbingu kama pazia
Na kuziweka nguzo za horofa, nguzo za horofa zake majini
- Huwafanya malaika zake, huwafanya kuwa pepo
Na watumishi watumishi wake, huwafanya kuwa moto wa miali
- Ee Bwana jinsi yalivyo mengi, yalivyo mengi matendo yako
Kwa heshima umefanya vyote, dunia imejaa mali yako
|
|
|