Lugha ya Muziki

Lugha ya Muziki
Alt TitleNimesikia Nyimbo
Performed by-
CategoryUtume wa Uimbaji
ComposerVictor Aloyce Murishiwa
Views25,991

Lugha ya Muziki Lyrics

  1. Nimesikia nyimbo nzuri za kumsifu Mungu
    mi fa so do ti la so mi Lugha ya muziki
    Nimependezwa sana mimi kumuimbia Mungu
    mi fa so do ti la so mi Lugha ya muziki

    Waimbaji wanaimba, nyimbo nzuri tamu tamu
    Utukufu wake Mungu, atukuzwe Mungu so so Mungu wetu
    Malaika wanaimba nyimbo nzuri tamu tamu utukufu wake
    Mungu atukuzwe Mungu so so Mungu wetu

  2. Kwa lugha ya muziki Mungu asikia kuomba kwetu
    Kwa lugha ya muziki Mungu asikia na sala zetu
  3. Kwa lugha ya muziki Mungu analeta faraja kwetu
    Kwa lugha ya muziki Mungu analeta upatanishi
  4. Kwa lugha ya muziki Mungu analeta furaha kwetu
    Kwa lugha ya muziki Mungu huondoa hasira kwetu
  5. Kwa lugha ya muziki Mungu atuweka karibu naye
    Kwa lugha ya muziki Mungu atuliza mateso yetu
Recorded by a couple of Choirs including * Classic Singers Nairobi (Amri Mpya album)