Tujongee Mezani

Tujongee Mezani
Performed bySt. Theresa Eastleigh
CategoryEkaristia (Eucharist)
Views7,217

Tujongee Mezani Lyrics

  1. Tujongee mezani, tujongee mezani,
    Tujongee mezani kwa chakula cha Bwana
    Bwana ameandaa, Bwana ameandaa,
    Bwana ameandaa chakula kwa ajili yetu

    Bwana Yesu anatuita, tujongee mezani kwake
    Mezani kwa karamu ya mapendo
    Meza yake inapendeza, inapendeza sana
    Jongea ndugu upate uzima

  2. Wale wenye moyo safi, moyo safi
    Ndio wanastahili kujongea meza ya Bwana
  3. Kama hujajiandaa, pia nawe
    wewe haustahili kujongea meza ya Bwana