Bahati Iliyoje

Bahati Iliyoje
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerStanslaus Mujwahuki
Views3,666

Bahati Iliyoje Lyrics

  1. Kweli bahati iliyoje kujongea meza ya Bwana
    {(Ninapo) ninapokula mwili wa Bwana
    (ninapo) ninapo kunywa damu ya Bwana
    ninapata furaha kubwa amani rohoni mwangu} *2

  2. Niulapo mwili wake Bwana, niunywapo damu yake Bwana,
    Napata furaha na amani rohoni mwangu
  3. Tule mwili wake Bwana Yesu, tunywe damu yake Bwana Yesu
    Nyoyo zetu zitajawa neema na mwanga wa milele