Mwimbieni Binti Sayuni

Mwimbieni Binti Sayuni
Performed by-
CategoryJumapili ya Matawi (Palm Sunday)
Views4,994

Mwimbieni Binti Sayuni Lyrics

  1. Mwimbeni binti sayuni, ee watu
    Yuaja ni mwenye upole
    Tazama ufalme wake yuaja kwetu
    Kapanda punda mwanapunda

    Sauti, tuimbe, hosanna *2

    Na zipazwe leo na tumwimbie (Yesu)
    Hosanna hosanna
    Mwokozi, anawaita nyumbani, wana Daudi
    (Yesu) amekuja kwa jina la Bwana
    Wanamwimbia (Yesu)

  2. Tandikeni nguo zenu, Bwana apite
    Mbarikiwa anakuja
    Pambazeni njia kwa maua mazuri
    Mbarikiwa anakuja
  3. Fungueni mioyo yenu kwake,
    Apate kuingia ndani
    Mpokeeni Bwana mioyoni mwenu
    Bwana mwenye upole mwingi