Sogeeni Kwa Karamu

Sogeeni Kwa Karamu
Performed bySt. Maurus Kurasini
AlbumHubirini Kwa Kuimba
CategoryEkaristia (Eucharist)
Views4,961

Sogeeni Kwa Karamu Lyrics

  1. Bwana Yesu ni mwili wa uzima, tukila tutashibishwa
    Bwana Yesu ni damu ya uzima, Yeye ni uzima

    Sogeeni kwa karamu ya upendo
    Twende sote tule mwili wake
    Twende sote tunywe damu yake Bwana tupate uzima

  2. Tunapokula mwili wake Bwana, na kuinywa damu yake
    Tunatangaza kifo chake Bwana Mpaka arudipo
  3. Alaye mwili wake Bwana wetu, na kuinywa damu yake
    Akila bila ya kustahili anajihukumu