Nalifurahi Waliponiambia

Nalifurahi Waliponiambia
Performed by-
CategoryEntrance / Mwanzo
Views12,557

Nalifurahi Waliponiambia Lyrics

  1. Nalifurahia waliponiambia (twende)
    Twende nyumbani mwake Bwana (Mungu)
    Baba wa milele , pia mtukufu , astahili enzi yote

  2. Sasa miguu yetu yasimama
    -wakupendao na wafanikiwe.
    Kwenye milanngo ako ee Sayuni
    -wakupendao na wafanikiwe
  3. Yerusalemu mji uliojengwa
    Kama mji ulioshikamana
  4. Walikopanda makabila
    Naam,kabila zote za Sayuni
  5. Wamushukuru Mungu Baba yetu
    Kama alivyotuagiza sisi sote
  6. Na hapo mna mahakama kuu
    Ni ile ya kifalme ya Daudi
  7. Uombeeni sSayuni amani
    Nayo fanaka muiombeeni
  8. Amani iwe ukumbini mwako
    Na usalama kwa majumba yako
  9. Kwa ‘jili ya jamaa zetu zote
    Kwa ‘jili nya nyumba yake Mwenyezi