Soma Biblia Kitabu Kitakatifu
Soma Biblia Kitabu Kitakatifu Lyrics
{ Soma Bibilia kitabu kitakatifu,
Soma uondoe ujinga wa kiroho. } *2
- Bibilia ni daktari wa maisha yako
Uisome, uondoe ujinga wa kiroho - soma
- Bibilia ni hekima ya maisha yako
Uisome uondoe ujinga wa kiroho - soma
- Bibilia ni mwalimu wa maisha yako
Uisome uondoe ujinga wa kiroho - soma
- Bibilia ni mlinzi wa maisha yako
Uisome, uondoe uchafu wa kiroho - soma
- Bibilia ni sabuni ya maisha yako
Uisome, uondoe uchafu wa kiroho - soma
- Bibilia ni furaha ya maisha yako
Uisome, uondoe huzuni ya kiroho - Soma