Tumshukuru Mungu

Tumshukuru Mungu
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumAsifiwe Bwana Mungu (Vol 8)
CategoryThanksgiving / Shukrani
ComposerFortune Shimanyi
Views5,751

Tumshukuru Mungu Lyrics

  1. Tumshukuru Mungu kwa ukarimu wa-ke (pia)
    Pia na wema wake kutupenda namna hii

    { Nitazame - nitazame mimi (kisha ) nawe jitazame } *2
    (waweza) kuwa umeo-na (kama) tuko tofauti sura
    Nna hata matendo ( yetu) ni tofauti kweli
    Lakini Mungu wetu - wala habagui
    Anatupenda sote - ni vyema kumshukuru

  2. Matendo yake hayachunguziki, Mungu wetu (kweli)
    Kweli hatupaswi kuyachunguza mambo haya
  3. Mawazo yetu sisi yana upeo wake (wala)
    Hatuwezi kujua siri za Mungu wetu
  4. Twapaswa kushukuru kwa vyote tulivyo navyo
    Kwani kila kitu tumepewa na Mungu pekee