Amelaaniwa Mtu Yule
Amelaaniwa Mtu Yule | |
---|---|
Choir | St. Cecilia Mirerani |
Album | Baragumu la Maria |
Category | Zaburi |
Composer | E. A. Minja |
Reference | Jer. 17 |
Amelaaniwa Mtu Yule Lyrics
Bwana asema hivi
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu
Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
(Na moyoni mwake amemwacha Bwana
Na moyoni mwa-ke amemwacha Bwana *2)
1. Kwa maana yeye atakuwa kama vile fukara nyikani
Naye ataona siku zote yote mema yatendwayo
2. Yeye ataishi maisha ya jangwani na yaliyo na ukame
Kwenye nchi kavu, yenye chumvi isiyokuwa na watu
3. Kama vile kware asanyaye makinda asiyoyazaa
Ni sawa na yule apataye mali wala si kwa haki
4. Amebarikiwa mtu yule amwitaye Bwana ndiye njia,
Ndiye tumaini lake yeye siku za maisha yake
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Tazama Tazama | 7482442 |