Amelaaniwa Mtu Yule

Amelaaniwa Mtu Yule
Performed bySt. Cecilia Mirerani
AlbumBaragumu la Maria
CategoryZaburi
ComposerE. A. Minja
Views9,438

Amelaaniwa Mtu Yule Lyrics

  1. Bwana asema hivi
    Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu
    Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake
    (Na moyoni mwake amemwacha Bwana
    Na moyoni mwa-ke amemwacha Bwana *2)

  2. Kwa maana yeye atakuwa kama vile fukara nyikani
    Naye ataona siku zote yote mema yatendwayo
  3. Yeye ataishi maisha ya jangwani na yaliyo na ukame
    Kwenye nchi kavu, yenye chumvi isiyokuwa na watu
  4. Kama vile kware asanyaye makinda asiyoyazaa
    Ni sawa na yule apataye mali wala si kwa haki
  5. Amebarikiwa mtu yule amwitaye Bwana ndiye njia,
    Ndiye tumaini lake yeye siku za maisha yake