Bwana Alikuwa Tegemeo
Bwana Alikuwa Tegemeo | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Tazameni Miujiza (Vol 2) |
Category | Zaburi |
Composer | Hillary Bagisi |
Source | Mwanza Tanzania |
Reference | Ps. 18 |
Musical Notes | |
Timesignature | 2 4 |
Musickey | D Major |
Notes | Open PDF |
Bwana Alikuwa Tegemeo Lyrics
Bwana alikuwa tegemeo - langu langu *2
Akanitoa akanipeleka panapo nafasi nafasi
Akaniponya kwa kuwa alipendezwa nami *2
1. Bwana alinitendea, sawasawa na haki yangu
Maana nimezishika njia zake wala sikumwasi Mungu.
2. Nimeshika maagizoye, sikuacha na amri zake
Mbele za Bwana sikuwa na hatia nikalinda wema wangu,
3. Atukuzwe Baba na Mwana, naye Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote na milele amina.
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |