Bwana Yesu Alitamka
Bwana Yesu Alitamka | |
---|---|
Choir | - |
Category | Injili na Miito (Gospel) |
Composer | (traditional) |
Bwana Yesu Alitamka Lyrics
1. Bwana Yesu alitamka, mimi ndimi njia ya kweli
Mtu haji kwa Baba yangu, Ila kwa njia yangu mimi
2. Njia nyembamba yenye tabu, ndiyo iendayo Mbinguni
Na ile pana ya anasa, yaelekea Jehanam
3. Ngamia ni rahisi sana, kuingia tundu la sindano,
Kuliko mtu mwenye dhambi kuingia Mbinguni kwa Baba
3. Mimi ndimi mwanzo na mwisho, mimi Alfa na Omega
Mtu haji kwa Baba yangu, Ila kwa njia yangu mimi
Mtu haji kwa Baba yangu, Ila kwa njia yangu mimi
Hebu jiulize (jiulize) njia gani uifuatayo
Nawe waelekea wapi na wafuata njia ya kweli
2. Njia nyembamba yenye tabu, ndiyo iendayo Mbinguni
Na ile pana ya anasa, yaelekea Jehanam
3. Ngamia ni rahisi sana, kuingia tundu la sindano,
Kuliko mtu mwenye dhambi kuingia Mbinguni kwa Baba
3. Mimi ndimi mwanzo na mwisho, mimi Alfa na Omega
Mtu haji kwa Baba yangu, Ila kwa njia yangu mimi
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |