Ee Mungu Jina Lako

Ee Mungu Jina Lako
Performed by-
CategoryZaburi
ComposerJ. C. Shomaly
Views3,113

Ee Mungu Jina Lako Lyrics

  1. Ee Bwana Mungu jina lako ni tukufu sana
    Duniani na mbinguni wewe watawala! (pia*2)
    Nikiziangalia mbingu kazi ya vidole vyako
    Mwezi pia na nyota Bwana umeratibisha wewe
    Wanyama wa porini, ndege, samaki warukaruka!
    (Njooni) njooni tumwimbie Bwana
    Njooni tumwimbie Bwana, yeye ameumba vyote
    Njooni tumwimbie *2 njooni tuimbe na ngoma
    Piga na zeze vinanda ametuumba njooni tumwimbie}

  2. Kaumba nchi (kaumba wanyama)
    Samaki wa baharini(-rini na ndege)
    Vyote hivyo vyapendeza (-ndeza kama nini)
    Njooni imbeni (njooni tumwimbie)
  3. Mimea yote (ameumba yeye)
    Nchi yote ikajaa misitu
    Chakula chao wanyama (ni matunda yake)
    Nyama na ndege wanaruka (-ruka angani
  4. Tazama mtu (ndiye kitu gani)
    Hata wewe umkumbuke (-mbuke ee Bwana)
    Na binadamu ni nani (nani ee Bwana)
    Umwangazie (kwa wema)