Ee Mungu Mfalme

Ee Mungu Mfalme
Performed by-
CategoryZaburi
ComposerJ. C. Shomaly
Views3,186

Ee Mungu Mfalme Lyrics

  1. [s] Ee Mungu mfalme Bwana mimi nitakutukuza
    [w] Nitalihimidi jina lako Bwana *2
    { Kila siku nitakuhimidi ewe Mungu wangu
    nitalitukuza jina lako milel } *2

  2. Bwana ana fadhili, ni mwingi wa rehema,
    Si mwepesi wa hasira ni mwingi wa rehema
    Na rehema zake ni kwa viumbe vyote
  3. Viumbe vyote vyako Mungu vitakusujudu
    Na wacha Mungu wako watakuhidi
    Wataunena utukufu wako na kuhadithia uweza wako.