Heri Walio Maskini

Heri Walio Maskini
Performed bySt. Joseph Migori
AlbumNitachezacheza
CategoryMafundisho ya Yesu
ComposerAlfred Ossonga
Views7,537

Heri Walio Maskini Lyrics

  1. {Heri walio maskini wa roho,
    Kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao }*2
    {(Heri) heri wenye huzuni (wao) watafarijiwa
    (Heri) wenye upole watairithi nchi }*2
  2. Heri walio na njaa na kiu ya haki,
    Kwa maana maana hao watashibishwa (heri)
    Heri wenye rehema (hawa) watapata rehema
    Heri wenye moyo safi hao watamwona Mungu
  3. Heri wale walio wapatanishi
    Kwa maana wataitwa wana wa Mungu
    (Heri) wenye kuuliwa (kwa) kwa ajili ya haki
    kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao
  4. Heri washutumiwao na kuudhiwa,
    Na kunenewa neno baya kwa ajili yangu *2
    (Nyinyi) furahini sana (pia) na kushangilia
    Kwa maana dhawabu yenu ni kubwa mbinguni