Hii ni Ekaristi
Hii ni Ekaristi | |
---|---|
Choir | Sauti Tamu Melodies |
Album | Zilipendwa |
Category | Ekaristia (Eucharist) |
Composer | (traditional) |
Video | Watch on YouTube |
Musical Notes | |
Time Signature | 4 4 |
Music Key | G Major |
Notes | Open PDF |
Hii ni Ekaristi Lyrics
-
Hii ni ekaristi, aliyotuachia
Bwana Yesu Kristu (Kristu)
Mkombozi wa dunia{ (imbeni) Imbeni kwa furaha
(sifuni) Sifuni ekaristi
(alimo) Alimo Yesu Kristu (Kristu)
Alimo ni mzima } *2 -
Yesu katuonea, wema pia huruma
Alitupenda sana (sana)
Akatupa uzima -
Jioni Alhamisi, alichukua mkate
Kaugeza mwili (mwili)
Kuleni mkaokoke -
Pia alichukua, kikombe cha divai
Kaigeuza damu (damu)
Kunyweni mkaokoke -
Walipokwisha kula, kawaosha miguu
Nimewapa mfano (mfano)
Fanyeni nanyi vile -
Yesu mwili na damu, chakula cha uzima
Tujaliwe kupata (pata)
Uzima wa milele.