Hubirini Hubirini
Hubirini Hubirini | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Mshike Mshike (Vol 5) |
Category | Injili na Miito (Gospel) |
Composer | J. C. Shomaly |
Reference | Ps. 96 |
Musical Notes | |
Timesignature | 2 4 |
Musickey | A Major |
Hubirini Hubirini Lyrics
{ Hubirini, hubirini,
Hubirini kwa sauti ya kuimba, hubirini nyote
Tangazeni haya yatamkeni mpaka mwisho wa dunia } *2
Semeni Bwana, amelikomboa, amelikomboa, amelikomboa
Taifa taifa, taifa taifa, taifa lake - *2
1. [ s ] Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki
Kusifu kunawapasa wanyofu, wanyofu wa moyo
2. Kwa kuwa Bwana ni mkuu na mwenye kusifiwa
Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
3. Zitajeni sifa zake ametukuka Bwana Mungu
Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |