Hubirini Hubirini

Hubirini Hubirini
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumMshike Mshike (Vol 5)
CategoryInjili na Miito (Gospel)
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,212

Hubirini Hubirini Lyrics

  1. { Hubirini, hubirini,
    Hubirini kwa sauti ya kuimba, hubirini nyote
    Tangazeni haya yatamkeni mpaka mwisho wa dunia } *2
    Semeni Bwana, amelikomboa, amelikomboa, amelikomboa
    Taifa taifa, taifa taifa, taifa lake - *2

  2. [ s ] Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki
    Kusifu kunawapasa wanyofu, wanyofu wa moyo
  3. Kwa kuwa Bwana ni mkuu na mwenye kusifiwa
    Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
  4. Zitajeni sifa zake ametukuka Bwana Mungu
    Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba