Hubirini Neno Lake

Hubirini Neno Lake
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumIkatetemeka Nchi (Vol 3)
CategoryInjili na Miito (Gospel)
ComposerJ. C. Shomaly
Views5,205

Hubirini Neno Lake Lyrics

  1. Hubirini neno lake Mungu kwa mataifa yote
    Tangazeni ukuu wa Mungu kwa viumbe vyote
    { Kwa kuwa Bwana - ni mwema
    Ni mwema rehema zake hudumu,
    Vizazi hata vizazi, vizazi kwa wamchao } *2

  2. Mpigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki,
    Kusifu kwawapasa, wanyofu wa moyo
  3. Semeni kwa shangwe, Bwana amelikomboa taifa lake`,
    Bwana amelikomboa taifa lake