Kuhani Hata Milele
Kuhani Hata Milele | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Milele Milele Msifuni (Vol 1) |
Category | Zaburi |
Composer | J. C. Shomaly |
Reference | Ps. 110; Heb. 7 |
Kuhani Hata Milele Lyrics
NDIWE KUHANI
1. Yesu Kristu ndiye mchungaji
Huwalisha kondoo, wakati wake
2. Huwatengeneza yatima
pia nao wajane, kwa wema wake
3. Nitamwimbia Mungu wangu
ametukuka sana, Bwana wa vita
[b] Ndiwe kuhani hata milele -
[w] kuhani hata milele
[b] Kwa mfano wake Melkisedeki -
[w] kuhani hata milele
[t] Kuhani - kuhani hata milele *2
(a] Kuhani - kuhani hata milele,
kwa mfano wake Melkisedeki
[b] kuhani - kuhani hata milele
1. Yesu Kristu ndiye mchungaji
Huwalisha kondoo, wakati wake
2. Huwatengeneza yatima
pia nao wajane, kwa wema wake
3. Nitamwimbia Mungu wangu
ametukuka sana, Bwana wa vita
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |