Kwa nini Malumbano
Kwa nini Malumbano | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Mshike Mshike (Vol 5) |
Category | Tafakari |
Composer | Jerome M. |
Source | Tanzania |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | G Major |
Kwa nini Malumbano Lyrics
{ Mbona watu wa mataifa wanafanya ghasia (ghasia)
Na kuivuruga amani kati ya mataifa } *2
{
/b/ Kwa nini vita na malumbano viwepo,
Amani imetoweka, kwa nini viwepo viwepo,
kwa nini vita kwa nini vita viwepo kati yetu
Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
/t/ Kwa nini vita na malumbano viwepo kati yetu,
sisi tulio kitu kimoja kwa nini vita viwepo kati yetu
Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
/a/ Kwa nini vita na malumbano viwepo
kati yetu kwa nini vita viwepo kati yetu
Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja
/s/ Kwa nini vita na malumbano vita viwepo kati yetu
Sisi tulio kweli watoto wake Baba mmoja } *2
1. Babu na bibi hawaelewani,
Baba na mama, Kaka na dada wamefarakana
Wamemsahau Mungu Baba
2. Bila huruma, wengi wanaua,
Watoto wasio na hatia, mbona wanatupwa,
Sasa hukumu i juu yenu
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |