Mfano Huu

Mfano Huu
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
Views3,454

Mfano Huu Lyrics

  1. Mfano huu ni wa nani, ni sura ya Kaisari *2
    Basi, Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari
    Pia, Mpeni naye Mungu yaliyo yake Mungu

  2. Mafarisayo walimwuliza,
    Kama ni halali kulipa kodi kwa Kaisari
  3. Lakini Yesu akatambua,
    Uovu wao na kujua wanamjaribu
  4. Tutoe zile zake Kaisari,
    Pia tumpe Mungu vilivyo vyake Mungu
  5. Mafarisayo walishangaa,
    Pia wakamuacha na wakaenda zao