Mpendwa Wangu

Mpendwa Wangu
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumIkatetemeka Nchi (Vol 3)
CategoryEkaristia (Eucharist)
ComposerBernard Kiundi
Views5,398

Mpendwa Wangu Lyrics

  1. { Mpendwa wangu ni Yesu Kristu, rafiki wa moyo wangu,
    Rafiki wa rafiki zangu, mkombozi wa roho yangu } *2

    Kwa maana yeye hunilinda kunako hatari (zote)
    Kula na kulala kwangu ajua yeye ndiye Mungu wangu
    (Mungu) Mpendwa wangu (ni Yesu *5) ni Yesu tu

  2. Ninaona fahari kubwa, kulitangaza Jina lako
    Mpendwa wang ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu tu
  3. Kila ninapokuwa na shida, huliitia jina lako
    Mpendwa wang ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu tu
  4. Umenikomboa ee Bwana, kwa damu yako msalabani
    Mpendwa wang ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu, ni Yesu tu