Mungu Kaniita
Mungu Kaniita | |
---|---|
Choir | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha |
Album | MSHIPI (VOL. 22) |
Category | Tafakari |
Composer | F. Mtegeta |
Source | St. Theresa Cathedral Arusha Tanzania |
Musical Notes | |
Timesignature | 4 8 |
Musickey | A Major |
Notes | Open PDF |
Mungu Kaniita Lyrics
Tazama Mungu kaniita kati yao wanyonge
nimtumikie yeye
Tazama amenichagua kati ya viumbe
nimuimbie yeye
{Nitashangilia, sitaona haya,
nitaruka kama ndama a haa
Nami nitayatangaza bila woga
matendo yake kwa mataifa } *2
1. Mungu amenichagua, mimi amenichagua
Tena akanitakasa na kunibariki, nimuimbie
2. Furaha yangu kubwa, hii ni kuimba Nimwimbie
Mungu wangu nyakati hizi za ujana ujana wangu
3. Tujalie ujasiri, uvumilivu, wa kutangaza
Neno lako Mungu kwao mataifa, wakufuate.
4. Natarajia ushindi, siku ya mwisho, Nishangilie
Na nifurahiye utukufu wako, milele yote
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |