Ee Mungu Uniokoe

Ee Mungu Uniokoe
Performed bySt. Kizito Makuburi
AlbumMungu Yule
CategoryZaburi
ComposerCharles Ruta
Views9,894

Ee Mungu Uniokoe Lyrics

  1. [b] Ee Mungu uniokoe
    [w] Maana maji yamepita mpaka nafsini mwangu
    [b] Ee Mungu uniokoe
    [w] Ninazama katika matope mengi
    {[a] Pasipowezekana (Bass) Kusimama
    [w] Nimefika penye maji ya vilindi
    Mtondo wa maji unanigharikisha *2}

  2. Nimechoka kwa kulia kwangu koo yangu imekauka
    Macho yangu yamedhoofu
    kwa kumngoja Mungu wangu
  3. Wanaoonichukia bure ni wengi
    `Kuliko nywele za kichwa changu
  4. Ee Mungu waujua upumbafu wangu
    Wala hukufichwa dhambi yangu