Nimezitambua Hila za Shetani

Nimezitambua Hila za Shetani
Performed bySt. Cecilia Zimmerman
AlbumNimezitambua Hila (Vol 5)
CategoryTafakari
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,513

Nimezitambua Hila za Shetani Lyrics

  1. Nimezichambua hila zake shetani na kanuni zake
    Enyi wapenzi sikilizeni haya kwa makini
    Sheria pia taratibu zake zote na maagizo yake
    Enyi wapenzi sikilizeni haya kwa makini

  2. Uwongo na kiburi - sheria za Shetani hizo
    Uzinzi na ulevi - kanuni za shetani hizo
    Wivu na majivuno - sheria za Shetani hizo

    Hizo! Ndugu yangu jihadhari sana
    Hii ni hatari, tupige magoti tusali sana.
    Yasije yakatukumba

  3. Ulaji wa rushwa -
    Uvivu na uchawi -
    Utovu wa nidhamu -
  4. Nguo zenye kubana -
    Na zile fupi fupi -
    Mavazi ya kihuni -
  5. Kuiba kudhulumu -
    Kusengenya wengine -
    Udokozi umbeya -
  6. Kudharau wenzako -
    Matusi na karaha -
    Hirizi na tunguri -