Njoo Moyoni

Njoo Moyoni
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
Views3,879

Njoo Moyoni Lyrics

  1. Njoo moyoni mwangu Bwana *2
    Unishibishe mwili wako –
    Unishibishe kwa mwili wako Bwana Yesu

    Ulisema alaye mwili wako
    Ana uzima (iye iye) wa milele
    Ulisema anywaye damu yako
    Ana uzima (iye iye) wa milele

  2. Njoo moyoni mwangu Bwana *2
    Niburudishe kwa damuyo –
    Niburudishe kwa damu yako Bwana Yesu
  3. Mimi ni mdhambi ee *2
    Unisafishe kwa damuyo –
    Unisafishe kwa damu yako Bwana Yesu
  4. Kaa ndani yangu ee Bwana *2
    Na mimi nikae ndani yako –
    Na mimi nikae ndani yako Bwana Yesu