Njooni Niwafundishe

Njooni Niwafundishe
Performed bySt. Joseph Migori
CategoryGeneral
Views7,614

Njooni Niwafundishe Lyrics

  1. {Njooni kwangu (ni) niwafundishe hekima
    Njooni mpate hekima }*2
    {Niwafundishe upendo, niwafundishe kusali
    Na niwafundishe kuimba
    Njoni kwangu enyi wanangu nitawafundisha yote}*2

  2. Ili tuwe na hekima, mpaka tumjue Mungu,
    Kwani mwanzo wa hekima ni kumjua Mungu *2
  3. Tukipata hekima, tumepata busara
    Tumepata na elimu ya kumjua Mungu *2
  4. Bwana Mungu anasema kwamba watu wangu
    Wanaangamia wote kwa kukosa hekima *2
  5. Niwafundishe kuishi maisha ya amani
    Niwafundishe kunena maneno ya hekima