[t] Njooni nyote *2 tuingie nyumbani
[b] Nyumbani Mwa Bwana
[w]Nyumbani mwa Bwana
Bwana Mungu wa majeshi
- Tuingie kwa furaha na shangwe
Tumwabudu Bwana muumba wetu
- Sisi ndio watu wake Bwana
Tumwimbie Bwana Mumba wetu
- Twakuita kwa vigelegele na vinanda pia baragumu
Sifu jina lake kuu tuliabudu na kulitukuza
|
|
|