Sheria Ya Bwana
Sheria Ya Bwana | |
---|---|
Choir | Kwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha |
Album | Nikiziangalia Mbingu (vol 18) |
Category | Zaburi |
Composer | Deo Mhumbira |
Source | St. Theresa Cathedral Arusha Tanzania |
Reference | Ps. 19 |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | D Major |
Notes | Open PDF |
Sheria Ya Bwana Lyrics
{ Sheria ya Bwana, sheria ya Bwana ni kamilifu aee
Ni kamilifu aee huburudisha nafsi } *2
1. Ushuhuda wa Bwana ushuhuda wa Bwana
Ni amini ni amini humtia mjinga hekima
2. Maagizo ya Bwana maagizo ya Bwana.
Ni ya adili, ni ya adili huufurahisha moyo wangu
3. Na amri yake Bwana amri yake Bwana,
Ni safi sana, ni safi sana huyatia nuru macho yangu
4. Hukumu zake Bwana hukumu zake Bwana
Ni za kweli, ni za kweli nazo zina haki kabisa
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |