Sheria Ya Bwana

Sheria Ya Bwana
Performed byKwaya Kuu ya St. Cecilia Arusha
AlbumNikiziangalia Mbingu (vol 18)
CategoryZaburi
ComposerDeo Mhumbira
Views5,561

Sheria Ya Bwana Lyrics

  1. { Sheria ya Bwana, sheria ya Bwana ni kamilifu aee
    Ni kamilifu aee huburudisha nafsi } *2

  2. Ushuhuda wa Bwana ushuhuda wa Bwana
    Ni amini ni amini humtia mjinga hekima
  3. Maagizo ya Bwana maagizo ya Bwana.
    Ni ya adili, ni ya adili huufurahisha moyo wangu
  4. Na amri yake Bwana amri yake Bwana,
    Ni safi sana, ni safi sana huyatia nuru macho yangu
  5. Hukumu zake Bwana hukumu zake Bwana
    Ni za kweli, ni za kweli nazo zina haki kabisa