Siku ya Kuja

Siku ya Kuja
Performed by-
CategoryGeneral
Views4,089

Siku ya Kuja Lyrics

  1. Siku yakuja kuuona mji wa Baba
    Wateule watafurahi waliookoka
    Siku ya kuja kuuona mji wa Baba,
    Tutaimba aleluya *2

    {Tutavikwa mavazi meupe yapendezayo sana} * 2
    {Wale waliookoka watavikwa kwa taji ya Bwana }
    {Sote tutaimba Mbinguni kwa furaha kubwa} * 2
    Alleluia Mungu wetu kwa upendo wako *2

  2. Tujitenge na mambo ya duniani
    Uongo, ulevi wizi visipatikane
    Ndipo tutakuwa washindi wake Bwana
    Tutaimba aleluya *2