Univishe Pete
Univishe Pete | |
---|---|
Choir | St. Paul Students' Choir (University of Nairobi) |
Album | Milele Milele Msifuni (Vol 1) |
Category | Harusi |
Composer | A. K. C. Singombe |
Source | Tanzania |
Univishe Pete Lyrics
{ Ewe mwenzangu univishe pete kwenye chanda changu,
Iwe ni alama ya uaminifu wako } *2
1. Naapa mbele ya Mungu, mimi ni wako siku zote,
Nitamuacha Baba nitamwacha na mama
Niambatane nawe, nasi tutakuwa mwili mmoja
2. Wewe sio malaika ni mwanadamu kama mimi,
Makosa kawaida tuko sawa maumbile
Maumbile ya Mungu, nitakusamehe ukinikosea
3. Macho yangu yameona, yameona wengi sana,
Kati yao wengi, ninakuvika pete
Iwe alama yangu ya uaminifu wangu kwako
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |