Yesu Alia Msalabani

Yesu Alia Msalabani
Performed by-
CategoryKwaresma na Toba (Lent & Repentance)
Views10,707

Yesu Alia Msalabani Lyrics

  1. Yesu alia msalabani. Asikitika juu ya dhambi zetu
    Asulubiowa asiyekosa kwamba yeye ni mosaji

    Ee mwanadamu lipi ambalo linalonipasa kuwatendea
    Ambalo sikuwatendeeni, hata ikanipasa msalaba

  2. Magonjwa yote aliyaponya, wafu nao aliwafufua
    Kundi la watu aliwaponya, lipi alilokosa
  3. Watu wa Mungu Bwana alia asikitika juu ya dhambi zenu
    Asulubiwa asiyekosa kwamba ni mkosaji
  4. Wana wa Mungu, Bwana alia, asema nyinyi mwamsulubisha,
    Msipobeba misalaba yenu kwani nyinyi m wakosaji
  5. Tazama Bwana akulilia, akuita ndipo akuokoe
    Tazama haya mapenzi yake Bwana hayana mwisho