Bwana Mungu Tunakuja

Bwana Mungu Tunakuja
Performed by-
CategoryOffertory/Sadaka
Views4,422

Bwana Mungu Tunakuja Lyrics

  1. Bwana Mungu tunakuja mbele zako
    Tunakuja leo na zawadi zetu
    Zipokee zibariki ziwe za kupendeza

  2. Upokee mkate wetu toka ngano ya nchi hii
    Upokee divai yetu toka tunda la mzabibu
  3. Mazao ya mashamba tunaleta mbele zako
    Nazo fedha za mifuko twaomba uzipokee
  4. Maisha na matendo yetu tunayaleta mbele zako
    Roho zetu zenye toba twaomba uzipokee
  5. Tuhurumie si wakosefu tunakuja mbele zako
    Tuletee baraka zako kwetu sisi wenye dhambi