Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | |
---|---|
Choir | St. Maurus Kurasini |
Album | Hubirini Kwa Kuimba |
Category | Zaburi |
Composer | G. A Chavalla |
Skizaid | sms to 811 |
Video | Watch on YouTube |
Musical Notes | |
Timesignature | 3 8 |
Musickey | G Major |
Notes | Open PDF |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu Lyrics
Bwana kama wewe ungehesabu maovu yetu,
Nani angesimama, nani angesimama
Nani angesimama mbele yako
1. Lakini kwako kuna msamaha, ili wewe uogopwe,
Nimemungoja Bwana, Roho yangu,
Na neno lake nimelitumaini
2. Nafsi yangu inamngoja Bwana, kuliko walinzi
Walinzi waingojavyo asubuhi
Naam walinzi wangojavyo asubuhi
3. Ee Bwana toka vilindini, nimekulilia
Bwana sauti yangu usikie
Masikio yako yasikie dua zangu
* Pia umerekodiwa na kwaya ya Queen of Apostles Ruaraka
* Wimbo huu pia unaweza imbwa wakati wa kwaresma
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |