Nitajongea Altare Yako

Nitajongea Altare Yako
Performed by-
CategoryEkaristia (Eucharist)
Views3,672

Nitajongea Altare Yako Lyrics

  1. Nitajongea altare yako,
    Furaha yangu na heri yangu siku zote

  2. Peleka mwanga wako wa uaminifu wako
    Viniongoze vinipeleke kwako,
    katika hekalu lako takatifu
  3. Nami nitajongea altare ya Mungu
    Mungu wa furaha yangu nami nitakusifu
    Moyo wangu kwani wasikitika
  4. Nafsi yangu kwa nini kuinama na kufadhaika
    Umtumaini Mungu, kwani yeye ndiye nguvu zako
  5. Sifa kwa Baba na mwana na Roho Mtakatifu
    Kama toka mwanzo, na sasa na milele. amina.