Furahini Siku Zote

Furahini Siku Zote
Performed bySt. Mary Viane Bulanda Busia
AlbumKaribuni Busia
CategoryTafakari
ComposerJ. C. Shomaly
Views4,023

Furahini Siku Zote Lyrics

  1. {Furahini siku zote, ombeni bila mwisho
    Shukuruni kwa kila jambo
    maana hayo ni mapenzi ya Mungu wetu } * 2

  2. Tutubuni na kusali
    tuombeni na baraka
    Tudumishe familia
  3. Unapopatwa na shida,
    si mwisho wa roho yako
    Shukuruni na kuomba
  4. Matendo yenu mazuri,
    yawe kitulizo kwenu
    Kwa kusali na kuomba
  5. Baraka anazo Mungu,
    aombaye atapewa
    Shukuruni na kuomba