Kuna Mambo Sita

Kuna Mambo Sita
Performed bySt. Veronica Kariakor Dar-es-salaam
AlbumWalinizunguka Kama Nyuki
CategoryZaburi
ComposerR. Masanja
Views6,443

Kuna Mambo Sita Lyrics

  1. {Kuna mambo sita, (kuna vitu sita)
    Kuna vitu sita anavyochukia Bwana } * 2
    Naam viko saba vilivyo chukizo kwake * 2

  2. Bwana achukia, Bwana achukia
    Bwana achukia ma-cho ya kiburi
  3. Bwana achukia, Bwana achukia
    Bwana achukia ulimi wa uongo
  4. Bwana achukia, Bwana achukia
    Mikono imwagayo damu iso hatia
  5. Bwana achukia moyo uwazao,
    Moyo uwazao uwazao mabaya
  6. Bwana achukia, Bwana achukia
    Miguu nyepesi kukimbilia ovu
  7. Bwana achukia, Bwana achukia
    Bwana achukia ushahidi wa uongo
  8. Bwana achukia mtu apandaye,
    Mbegu za fitina katikati ya ndugu