Sikuja Kutangua Torati

Sikuja Kutangua Torati
Performed bySt. Paul Students' Choir (University of Nairobi)
AlbumUshuhuda Tosha
CategoryMafundisho ya Yesu
ComposerJ. C. Shomaly
Views3,361

Sikuja Kutangua Torati Lyrics

  1. { Sikuja kuitangua torati au manabii *2
    La! Siku-ja, sikuja kutangua
    Bali kuitimiliza bali kuitimiliza } *2

  2. [ s ] Yesu aliyasema hayo akimaanisha, seria itimizwe,
    Hata yodi moja na nukta moja, ya torati haitapita
  3. [ t/b ] Na sisi inatubidi kuzitii sheria za Mungu siku zote,
    Kuiba kudhulumu ni kuvunja sheria, alizoweka Mungu
  4. [ s ] Yesu aliyasema hayo akimaanisha, sheria tutimize,
    Uvivu na uchawi ni kuvunja sheria, alizoziweka Mungu