Ulimi ni Uovu
Ulimi ni Uovu | |
---|---|
Choir | St. Don Bosco Mirerani |
Album | Ramani ya Mbinguni |
Category | Tafakari |
Composer | O. Okwako |
Ulimi ni Uovu Lyrics
Ni nani awezaye kuufuga ulimi, ulimi, ulimi *2
Ulimi ni uovu huu, ulimi unaleta ugombanishi
{ Ulimi ulimi ulimi, ulimi ulimi ulimi
Ulimi ulimi ulimi, ulimi kiungo kidogo
Lakini una sumu kali iletayo mauti } * 2
1. Ulimi ni kitu kiovu wala hakiwezi kutawalika
Lakini kimejaa uovu, uovu uletao mauti
2. Tazama tunamshukuru Muumba kwa kutumia ulimi
Na tena twatumia ulimi huo kuwalaani wenzetu
3. Tazama wote tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu
Maneno ya laana kusifu yatoka kweli kinywa kimoja
//hitimisho//
Je chemichemi moja yaweza kutoa maji matamu
Je mti wa mpini waweza kuzaa zeituni
Wala chemichemi ya maji ya chumvi kutoa maji matamu
Je chemichemi moja yaweza kutoa maji machungu
Je mti wa zabibu waweza zaa tunda la mpini
Wala chemichemi ya maji ya chumvi kutoa maji matamu
Favorite Catholic Skiza Tunes
SMS the Skiza ID to 811 to get the song as your Skiza tune.
Title | SKIZA ID |
Cha Kutumaini Sina | 5814855 |
Roho Yangu na Ikuimbie | 5814859 |
Nikupe Nini Mungu Wangu | 7482438 |
Sasa Wakati Umefika | 7482439 |
Bwana Kama Wewe Ungehesabu Maovu Yetu | 7482444 |
Nitakwenda Mimi Mwenyewe | 7482440 |
Zaeni Matunda Mema | 5814860 |
Huniongoza Mwokozi | 5814856 |
Utukuzwe Ewe Baba | 7482441 |
Tazama Tazama | 7482442 |