Mambo ya Yesu

Mambo ya Yesu
Performed by-
AlbumMambo ya Yesu
CategoryInjili na Miito (Gospel)
ComposerRenatus Rwelamira
Views4,951

Mambo ya Yesu Lyrics

  1. { Hatutaacha kuyanena mambo ya Yesu
    Hatutaacha kuyasimulia matendo yake Kristu } *2
    (Sisi) uliyoyaona na kuyasikia wenyewe (Yesu)
    Akimwaga damu yake msalabani tukombolewe
    Tuliyoyaona na kuyasikia wenyewe (hivyo)
    Maisha yangu na uhai wangu mimi namkabidhi Yesu

  2. Amewaponya wenye magonjwa wakawa huru
    Akawafufua wafu nao wakawa hai
    Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu
  3. Alitoa uhai wake kwa ajili yetu
    Akafa kifo cha aibu pale msalabani
    Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu
  4. Ametuachia karamu iliyo kuu,
    Karamu ya upatanisho nay a upendo
    Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu
  5. Alibadilisha maji yakawa divai
    Na wenye harusi wakanywa wakafurahi
    Ni nani kama Yesu na hakuna aliye kama Yesu